Friday, June 10, 2011

USAJILI WA ARSENAL
















Klabu ya arsenal imefanikiwa kuwasajili wachezaji wawili mpaka sasa ambao ni mchezaji wa Lile na na kikosi cha taifa cha IVORY COAST Gervinyo pamoja na mchezaji wa West Bromwich Albion na timu ya taifa ya NIGERIA.
wachezaji wote tayari wamesha fanikiwa kufanya vipimo katika klabu hiyo ya jijini london

USAIN BOLT NA MAN UTD


Usain Bolt mkimbiza upepo wa kimataifa anaetokea nhini Jamaica amesema kuwa bado ndoto zake za kuichezea klabu ya manchesster united hazijafutika na malengo yake ni kukipiga katika klabu hiyo punde tu atakapo staafu katika mbio.
Bolt ambaye ndie mwanamme mwenye kasi zaidi mpaka sasa ambaye ameweka record juzi katika mbio za mita 100 na 200 na hivi sasa yuko mjini oslo kushindana katika mbio za mita 200na amesema kuwa bado anahitaji kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kurejea katika kasi yake ya kawaida.

PELE ASEMA NEYMAR ANAHITAJI JUHUDI ZAIDI



Kinda nyota anaechipukia kutoka brazili NEYMAR ameonywa na gwiji la soka wa taifa hilo na duniakwa jumla PELE kuwa anahitaji juhudi zaidi ili kuweza kufuata nyayo zake na asijishughulishe na kucheza na mashabiki kwani wanaweza kumpotezea malengo yake.
Pia gwiji huyo hakusita kumfagilia nyotaa huyo kwa kusema anaweza kumpita nyota wa sasa wa Argentina Leonel Messi kwani anaonesha kuwa na uwezo mkubwa pamoja na kuwa na umri mdogo wa miaka 19.
NEYMAR anahusishwa na kuwaniwa na vigogo viwili vya soka barani ulaya CHELSEA na REAL MADRID huku CHELSEA wanaonekana kuwa na nafasi nzuri ya kumnyakuwa kwani wao ndio walioonesha nia ya kumnyakuwa nyota huyo tangu msimu uliomalizika hivi karibuni.
Uwezo wa nyota huyo unaonekana kuwa mkubwa hasa kutokana na kuwa na uwezo wa kutumia miguu yote miwili tofauti na MESSI.

ERIC CANTONA KURUDI OLD TRAFFORD






Mchezaji wa zamani wa manchester united Eric Cantona anatarajiwa kurudi tena kwa mara nyengine katika klabu yake ya zamani ya old trafford baada ya miaka 13 kupita tangu alipoiacha timu hio
mchezaji huyo anatarajiwa kurudi tena katika uwanjani hapo katika mechi itakayopigwa kwa ajili ya kumuaga mchezaji mwenzake Paul Schooles mara baada ya kustaafu mpira mapema mwezi huu, lakini mara hii Eric Cantona anatarajiwa kurudi akiwa katika bench la ufundi akiwa kocha wa New York Cosmos. hata hivyo mchezaji mwenzake Paul schooles naye tayari amekubali kujiunga na bench la ufundi la timu hiyo mara baada ya kustaafu.
mfaransa huyo ambaye alipiga magoli 64 katika mechi 144 alizocheza katika timu yake hiyo ya zamani hakusita kusema kuwa ''natarajia kumpongeza mchezaji mwenzake Paul Schooles kwa muda wake wote alioutumia katika klabu hiyo kwa mafanilio makubwa nikiwa na majukumu yangu mapya nikwa kama kocha wa cosmos''.
Nae Paul Scholes hakusita kusema kuwa ''utakuwa ni usiku mkubwa kwangu mimi na kwa familia yangu baada ya kuitumikia klabu hii kwa maisha yangu yote, ila pia inaleta maana zaidi kwa mashabiki wa timu hii kwani wameonesha ukarimu na kunijali kwa muda wangu wote''

MANCHESTER WAMSAJILI ASHLEY YOUNG

Young, 25, is set to sign for Sir Alex Ferguson's side after he returns from holiday, ending his four-year spell in the Midlands. The Aston Villa winger has long been linked with a move away from the Birmingham outfit and is rumoured to have turned down a new contract at Villa Park.
The fee for the England international is thought to be around £16 million and he looks set to follow compatriot Phil Jones as United's second high-profile capture of the transfer window, although the deal for the defender has hit a snag over price.
Sunderland boss Steve Bruce, who spent eight years as a player at Man Utd and is also trying to buy three of United's players, told ESPNsoccernet: ''Ashley Young is a terrific signing for Sir Alex. There are not too many naturally good wide players these days, and Young is one of the best, so he will naturally enhance the United team.
"But the fact that United are willing to spend big money, at record levels in one go for the club, shows what Manchester United are all about, they are continually evolving.
"They have lost Paul Scoles, and know Ryan Giggs cannot go on forever, but they never stand still, and the way Sir Alex is going about his business at the moment show that he means business. Once again Manchester United will be the benchmark for the new season. Can anyone catch them... well, I would doubt it."
Young scored seven goals in 34 Premier League appearances last season, in addition to scoring twice for Fabio Capello's England team.

CHWAKA FC V/S VIKOPHARM FC (1-1)


Mechi kati ya vikopharm fc iliyopigwa katika uwanja wa mao tsi tung.
ilikuwa ni mpambano uliopigwa kati ya vikopharm fc na chwaka fc ambao matokeo yalikuwa 1-1
viko pharm ni timu ambayo imeleta changamoto katika soka la zanzibar maana inaonesha ni timu ambayo imejipanga katika kuleta mapinduzi ya soka nchini Tanzania.
vikopharm fc inatoa njia kwa vilabu vyengine nchini Tanzania kuiga mfano huu kwani hii ndio njia pekee kwa vilabu vya Tanzania kuweza kufanikiwa katika soka la kimataifa.

MANCHESTER WAMSAJILI PHIL JONES


 MANCHESTER WAMSAJILI PHIL JONES

June 8, 2011

Klabu ya manchester united imemsajili beki wa blackburn Phil Jones kwa uhamisho unaokisiwa kufikia paundi millioni kumi na sita (16 ml pound).
mchezaji huyo ambaye anachezea timu ya taifa ya England chini ya miaka 21 ameonekena leo mchana katika jiji la manchester united akifanyiwa vipimo na kusaini mkataba wa miaka mitano ambao utamuweka katika klabu hiyo mpaka mwaka 2016 alikuwa pia anawaniwa na klabu ya Liverpool lakini wekundu hao wa anfield wameshindwa na mashetani wekundu hao ambao wamelamba dume kwa kumsajili beki huyo.
Phil Jones ni beki ambaye msimu huu uliopita amecheza katika klabu yake hiyo kwa mafanikio makubwa huku akitikisa nyavu mara saba na kumfanya kuwa beki ambaye amefunga magoli mengi zaidi kwa msimu uliomalizika hivi karibuni na Mancheester United kutangazwa mabingwa wakiwa wamechukuwa ubingwa huo kwa mara ya kumi na tisa huku wakiweka historia ya kuwa klabu ambayo imebeba kombe hilo mara nyingi zaidi nchini England.
Awali Manchester United na Liverpool walikuwa wanachuanakatika kumsajili mchezaji wa sunderland handerson lakini wekundu hao wa Anfield wamefanikiwa kumsajili na hii inaonesha sir alex ferguson amelipiza kisasi kwa Liverpool kwa kusajili beki huyo.
Kutokana na kinachotokea sasa hivi ndani ya klabu ya Manchester United ni kuthibitisha ahadi ya kocha mkuu wa klabu hiyo Sir Alex Ferguson kuwa anataka kukifanya kikosi hicho cha United kama cha Barcelona kwa kuwa na wachezaji wengi wa katika kikosi hicho kwani mpaka sasa yuko mbioni kufuata saini ya kiungo mshambuliaji wa Aston Villa Ashley Young ambaye yeye mwenyewe ameonesha nia ya kutaka kukipiga katika klabu hiyo

HIGUAIN AMTAKA SERGIO AGUERO MADRID

HIGUAIN AMTAKA SERGIO AGUERO MADRID

June 8, 2011

Mshambuliaji wa madrid ameeleza kuwa angependelea kuwa anacheza sambamba na muargentina mwenzake huyo katika klabu yake yareal madrid.
Mchezaji huyo amesema kuwa yeye sio kazi yake kusajili ni kazi ya Florentino Perez lakini angependelea kucheza na muagentna mwenzake huyo. habari zinaendelea kueleza kuwa sergio aguero mwenyewe anataka kuihama klabu yake aliyopo sasa hivi ya Atletico Madrid na hakusita kueleza kuwa andgependa kuendelea kucheza katika nchi hiyo ya hispania pamoja na kuhusishwa na kuhamia katika vilabu mbali mbali vya nchini England zikiwamo Chelsea na Manchester City.

.BARCELONA NA DILI LA FABRIGAS

BARCELONA NA DILI LA FABRIGAS

June 8, 2011

Klabu ya barcelona imetowa ofa ya kumpeleka mchezaji Thiago Alcantara katika klabu ya Arsenal kama miongoni mwa dili ya kutaka kumrejesha kikosini mchezaji Sesc Frbrigas ambaye anaonesha hana raha kikosini hapo huku akionesha nia ya kutaka kurejea katika miamba hiyo ya ulaya.
Katika mpango huo wa kumsajili Sesc Fabrigas itahusisha pesa ambazo Arsenal wanataka wapewe kiasi cha paundi milioni hamsini, lakini barcelona wanataka wakamilishe dili hilo kwa kubadilishana na Arsenal Thiago pamoja na pesa kama njia ya kuwashawishi arsenal kumtoa mchezaji wao huyo wa zamani alieondoka kikosini hapo akiwa kinda katika academy yao ya LAMASIA.
Mchezaji huyo ambaye ni mtoto wa mchezaji wa zamani wa Barcelona na Brazil Manzinho ameonekana kufuata nyayo za baba yake kutokana na kuonekana na kipaji cha hali ya juu tangu alipofika katika kikosi hicho ambaye amelelewa katika academy ya Barcelona ya LAMASIA lakini ameonekana kama amekata tamaa katika kupigania namba katika kikosi cha kwanza kutokana na kuwepo viungo mahiri katika klabu hiyo ambao ni XAVI na INIESTA ambao wametawala katika sehemu hiyo ya kiungo na Barcelona wanaona ni vizuri kumpeleka Arsenal ili aweze kupata nafasi katika kikosi cha kwanza.

REAL MADRID WAIFUNGA BAYERN 8-3

REAL MADRID WAIFUNGA BAYERN 8-3

June 9, 2011

A Real Madrid team comprised of past players and legends have defeated their Bayern Munich counterparts 8-3 in a charity match.
Played at the Santiago Bernabeu in front of over 70,000 spectators on Sunday evening, the Corazon Classic Match was intended to raise funds to develop schools in Africa through the Real Madrid foundation and was spectacular to watch as there were 11 goals.
Former Madrid and Bayern players and footballing legends such as Luis Figo, Zinedine Zidane, Fernando Redondo, Emilio Butragueno, Willy Sagnol and Roy Makaay all featured in the game.
Ruben de la Red, who was forced to quit playing professionally last year at the age of just 25 because of a heart condition, opened the scoring after just 11 minutes, and five minutes later Butragueno made it 2-0 to Madrid.
Redondo made it 3-0 on 40 minutes, but Paulo Sergio reduced the deficit for Bayern just a minute before the half-time interval.
After the break, Alfonso Perez made it 4-1 to Madrid only for Niko Kovac to score for the German giants. An own goal
from Robert Kovac saw the Spanish powerhouse go 5-2 up and although Sergio made it 5-3 just moments later, Niko Kovac netted an own goal to help Madrid increase their lead to 6-3.
Late goals from Fernando Sanz and Davor Suker saw Madrid round up a comprehensive 8-3 victory in front of their own supporters

FUTURE OF ZANZIBAR FOOTBALL

THE FUTURE OF FOOTBALL IN ZANZIBAR

HISTORY

Football is very old game in this Island.Great footballers in 1950's told us the stories of their achievement in those years.There are no old videoclips but only the pictures.But we beleived what they told us,but still we(as a Coaches now)are are asking ourselves of what method of coaching and playing they used.

Could they were using simple methods of defending and attacking because football was not complex game as it is today.Their body structures shows that they were physically well built.About their technicalities,we couldnt guess,we only heard from other people about their goalscoring records,good defending,dribbling skills or being best coustodian ever.

I started myself to play football in early age,just like those boys who plays around in street soccer.Normally,the kids develop technics without their knowing in these games.
I play under the Coach at the age of fourteen.In nowdays soccer ,its very unusual.He was not a real Coach,but he was older than us who owns the balls so we were just followed his comands.If he is not happy with us because of any reason,he took his ball and the game ends without any warning.

I remember we did some laps before we started playing.When you are late,those laps turn to be the punishment.We had only one ball and we were more than 20 players,so when we do the passing drill,we had to wait for minutes just to pass or head the ball again.The drills were all the same everyday but we never get bored because we beleived that the way it should be.

All the other teams did the same way in training ground.When we played a match,we were just using the ideas that we thought were right.The Coach was shouting from the start to the end.He was just motivating us to work hard but they were no any technical or tactical instruction or adjusment he could give .You could not shoot without his permission,but when you shoot and scored,he would run and congratulate you,it was funny,wasnt it?

When we reach 16 and start to play in the leagues and may be changed the team and the Coach,Physical intensity was growing.We all beleived that being Physical fitness was the only way to become a better player.We were running on the beaches everyday not less than three kilometers.This was normally routine even if you play the match in the same afternoon.We used many hours that we could use not to develop technics but just running and doing fitness.

I cant say that there were no good players,but I can say that there were very few Coaches who could do real task they are suppose to do,to make a player to play better football.I beleive that the passion of the game itself caused them to play better and be creative.
You could hardly saw the tactical build up in any session.Even the session itself was not planned as it should be.There were no game plan or formation used or trained,defending was just to stop someone to score against you,and attacking was the other way around.Many Coaches mention 4 4 2,but when you see his team you cant see anything like that.
Johan Cryff says
"Every team must have a structure to follow,when there is no plan,there are no mistakes" No Coach could read the game and tell you about the mistake and then gave you general or structural training to rectify the mistake.I knew these things when I started to read Coaching books myself,no one could never ever told me.So basically the players had the mistakes and carry on playing and doing the same mistakes.
There were no session particulary constructed in accordance to soccer problems occured in previous matches.In fact when the team is beaten,the only problem that the Coach saw was lack of stamina.So we were told to get prepared to tough fitness session next day,and at the same time that fitness stand as the punishment.

Because of the porverty,most of the players didnt use quality soccer shoes.Sometime the subtitute had to wait and change the shoes with someone who comes out.You could be given one pair of shoes per season,and when you change the team,you have to retain the shoes to your previous team.The list goes on for other things like soccer boots,gloves etc.
The popular misconception among the soccer society was, if we arrange the tournament for young boys in schools or Junior Clubs,we can improve the quality of the players.. This wrong notion is even alive today. We dont focus on the perfomance of the players and the Coaches who trained them,and think about how can we find the way to improve .The result is to see the hit and run game.There are hundreds of Junior Clubs in the Island,but not even single club is having the Coach who can teach the player to be better one.We didnt realise that the young players needs to have the good foundation because they are going to be National asset for the future.
Even the good players didnt have good academic knowledge .This could affect the players focus and concentration in the game,and not being good enough in grasping as well as making good decisions.
The language was and still another big obstacle when they come across with the foreign Coaches, even talking with referees.We see some other time the player needs to undestand the warning message or to apologise to the refeee.Any reason you could choose, the communication skills plays the front role.
Regarding laws of he game,I m not sure who we should put the blame to,but the awareness of the laws in players and referees perspective was and still not quite right.The referees are making errors in every match.They could use old rule of,lets say offside, and apply to nowdays game.When the law changes,they seems to be not aware.

The History shows how we lack proper Coaching in those formative years.The coaching that can transform simple players to perfom better and better.
WHAT CAN WE DO TO GO WITH THE PACE OF CHANGES?
To develop the technical players all of the sudden is very tall order.It needs lot of plans ,awareness,vision and people who can help in that process.
We will need people who have interest and passion of the game.We need people who can work hard to study the principle of Coaching modern football and try to apply with patience and not having fear of the failure in the process.They should be able to learn English language if they are not good enough,and these poeple should start to to learn about Coaching bellow 12 years an age players and come up with them.
They should learn about how to develop the players physically, technically,tactically and even phsycological,in an age apropriate methods.Their experience as former players would assist in many ways of course.They should be able to demonstrate technical execution by example and not by using the best player among them .This will build the confidence for the players to their Coach and this is the way to success.
Team officials,parents and player themselves should have collective trust to the Coach and his overall plans,and be patient when things goes wrong.They should support him and give time as is not easy play better within short time.Players needs to adapt themselves with the plan or system and slowly knowing each other when they perfome the task together,after all ,Football is a TEAM game.
The most important things is,Football Organisation should keep its VISION clearer,eg VISION 2018 ,that we will need to Qualify for famous tournament like Africa Cup of Nation,Africa Club Champions etc AND WIN THE TROPHIES,and they should start with strategic plans today,and not tomorrow.
I, as National Team Coach for U15,I do have seen alot of potential talents that need serious support to perfom that task successfully.Their natural instict talents justify that we have the asset,its our job now to wake up and think about these young talented kids and not 25 years and above players.
Famous countries in Football World today had clear VISION ten years ago.They didnt wake up one sunny day and found Drogba,Kalou and Etoo playing the way they play.We can produce Didier Drogbas provided we have strategic constructive plan to reach there.Why cant we start with these kids?Why there are always sponsors for Above 25 years players and not U15 or U12?We ignore these kids today and hope that we can get good players tomorrow.Its pity.
" I want players that can attack opponents before they are set - win the ball and attack in a fast break mode.
We need players who have all these skills by the age of 19." Jurgen Klismann
Just look on how Modern Football pays great attention about how crucial is to developing the players within the age they want. We are busy developing 27 years player, where we are heading to?
We must try to Copy how Angola, Togo, Zambia, Congo DRC and even Mozambique, which method they used to reach high FIFA Ranking quickly and left us behind ?
There is one famous proverb from big thinker that's says
"The height by the great man reached and kept, were not attain by sudden flight, but they, while their Companions slept, were toiling upward in the night"
ALEY MOHAMMED
U15 NATIONAL TEAM COACH








--
Aley Mohammed
 

BRACKING NEWS

Habari za papo kwa papo zitakufikia muda mfupi ujao

HISTORIA YA KLABU

VIKO PHARM FC

VIKOKOTONI PHARMACY FOOTBALL CLUB  ni klabu ya daraja la pili taifa ambayo imeanzishwa mwaka 2009 Zanzibar. Manager wa klabu hii Bwana Haji Ali Haji ambae ndio mmiliki wa klabu hii alikuwa na wazo la kuanzisha klabu ya mpira muda mrefu lakini malengo yake yalikuwa ni kuwa na timu ambayo itakuwa na uwezo wa kiushindani kitaifa na kimataifa pia kuweza kuuza wachezaji nje ya nchi, ndipo alipoamuwa kutafuta makocha ambao watakuwa na uwezo wa kufikia malengo hayo. mwaka 2009 alipata makocha wawili wazoefu ambao ni kocha mkuu Aley Mohammed Aley na kocha Msaidizi ambaye ni Said Muharram Dosi. makocha hawa ni makocha wazoefu kutokana na fani zao wote wakiwa tayari wamesha fundisha vilabu tofauti mjini Zanzibar kwani kocha Aley tayari alikwa kocha wa zamani wa TEMBO HOTEL na kocha Said alikuwa kocha wa zamani wa timu ya SMALL SIMBA. hawa ni makocha ambao wanauzoefu mbali na kufundisha pia walikuwa ni wachezaji wastaafu wa timu ya taifa ya zanzibar. Pia klabu hii inaundwa na viongozi wengine wawili ambao ni dactari wa timu Dr. Khamis na katibu wa timu ambaye ni bwana Hussein.
Timu inaundwa na wachezaji ishirini wengi wao wakiwa na umri kati ya miaka 18-23 ambao ni wachezaji  ambao wapo katika umri wanaoweza kufundishika na kuifanya timu kuweza kufikia malengo waliojipangia.
Pia makocha wa timuu hii ukiachia mbali uzoefu pia wamepata mafunzo mbali mbali ndani na nje ya nchi katika fani hii ya mpira wa kisasa na kutokana na hilo progarm za timu zinaendana sawa sawa na klabu yoyote ile duniani katika misingi ya wachezaji wa kulipwa duniani hivyo kuifanya kuwa klabu pekee Tanzania inayotegemewa kutoa wachezaji wengi nje ya nchi kucheza soka la kulipwa ulaya na sehemu nyengine duniani na kuifanya klabu kufikia malengo yake.
Mpaka sasa klabu haina mdhamini ila mmiliki ndio anaiendesha na tupo katika mchakato wa kutafuta wadhamini mbali mbali wa kuisaidia timu pamoja na wao wenyewe kujitangaza kupitia jezi zetu pamoja na website hii kwani program ya klabu ni kuhakikisha VIKOKOTONI FOOTBAL CLUB inafahamika duniani kote  hivyo tunakaribisha makampuni yote ndani na nje ya nchi kuja kuwekeza katika klabu hii na tunawaahidi kutowaangusha na tutafanya kazi bega kwa bega kuhakikisha kuna manufaa kwa pande zote mbili