Friday, June 10, 2011

USAJILI WA ARSENAL
















Klabu ya arsenal imefanikiwa kuwasajili wachezaji wawili mpaka sasa ambao ni mchezaji wa Lile na na kikosi cha taifa cha IVORY COAST Gervinyo pamoja na mchezaji wa West Bromwich Albion na timu ya taifa ya NIGERIA.
wachezaji wote tayari wamesha fanikiwa kufanya vipimo katika klabu hiyo ya jijini london

No comments:

Post a Comment