Friday, June 10, 2011

USAIN BOLT NA MAN UTD


Usain Bolt mkimbiza upepo wa kimataifa anaetokea nhini Jamaica amesema kuwa bado ndoto zake za kuichezea klabu ya manchesster united hazijafutika na malengo yake ni kukipiga katika klabu hiyo punde tu atakapo staafu katika mbio.
Bolt ambaye ndie mwanamme mwenye kasi zaidi mpaka sasa ambaye ameweka record juzi katika mbio za mita 100 na 200 na hivi sasa yuko mjini oslo kushindana katika mbio za mita 200na amesema kuwa bado anahitaji kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kurejea katika kasi yake ya kawaida.

No comments:

Post a Comment