Friday, June 10, 2011

CHWAKA FC V/S VIKOPHARM FC (1-1)


Mechi kati ya vikopharm fc iliyopigwa katika uwanja wa mao tsi tung.
ilikuwa ni mpambano uliopigwa kati ya vikopharm fc na chwaka fc ambao matokeo yalikuwa 1-1
viko pharm ni timu ambayo imeleta changamoto katika soka la zanzibar maana inaonesha ni timu ambayo imejipanga katika kuleta mapinduzi ya soka nchini Tanzania.
vikopharm fc inatoa njia kwa vilabu vyengine nchini Tanzania kuiga mfano huu kwani hii ndio njia pekee kwa vilabu vya Tanzania kuweza kufanikiwa katika soka la kimataifa.

No comments:

Post a Comment